HABARI ZA MICHEZO
Seleman vs Fountain Gate Simba alishinda bao 3 kwa bila na mpira mwingi ulipigwa.
Seleman Vs Namungo Fc Simba ilishinda bao 3 na Mpira mwingi ukapigwa pira sasampa.
Seleman Vs Mbeya City Simba imeshinda bao 3 kwa bila na mpira mwingi umepigwa tena hajawahi kuruhusu bao hata moja kwenye mechi zote ambazo yeye alibakia na timu.
CHECK NA HIZI:
Ni wakati sasa wa uongozi wa Simba kufanya maamuzi magumu ya kumuamini Legendary MATOLA kwa kumkabidhi Timu kama kocha mkuu na kumpatia sapoti na ushirikiano mkubwa kama ambao huwa wanatoa kwa makocha wa kigeni Ili aweze kutekeleza majukumu yake na kuivusha Simba hapa ilipo kwenda kwenye nchi ya ahadi.
Wana Simba wenzangu naombeni tuamini makocha wazawa tuanze na MATOLA tuache maisha ya kukariri.
SIMBA Wamuamini Seleman Matola na Kumpa Nafasi ya Kocha Mkuu
Kocha Seleman Matola kila akibakia na Timu pekee yake basi Simba lazima icheze vizuri na ushindi mnono unapatikana.![]() |
| Kocha wa muda wa Simba SC, Seleman Matola |
Seleman Vs Namungo Fc Simba ilishinda bao 3 na Mpira mwingi ukapigwa pira sasampa.
Seleman Vs Mbeya City Simba imeshinda bao 3 kwa bila na mpira mwingi umepigwa tena hajawahi kuruhusu bao hata moja kwenye mechi zote ambazo yeye alibakia na timu.
CHECK NA HIZI:
- Pacôme Zouzoua Kuondoka Yanga Dirisha Dogo la Usajili
- Washambuliaji wa YANGA SC Wajitafakari, Sio Kila Siku Pacome Tu
- Mchezaji Aliyewaua Simba Kutua Yanga | TETESI ZA USASILI
- LIVE: Msimamo wa Ligi Kuu Tanzania 2025/2026 | NBC Premier League Table 2025/2026
- Misimamo ya Makundi CAF Champions League Cup Groups Standings 2025-2026
- LIVE: Misimamo ya Makundi CAF Confederation Cup Groups Standings 2025-2026
- Full Ratiba ya Makundi Klabu Bingwa CAF 2025/2026 | CAF Champions League 2025/2026 Fixtures
- Ratiba ya Mechi Zote za Makundi Kombe la Shirikisho Afrika 2025/2026 | CAF Confederation Cup 2025/2026 Fixtures
- Miguel Gamondi Ateuliwa Kuinoa Taifa Stars kuelekea AFCON 2025
- Bodi ya Ligi ya TPLB: Taarifa Muhimu Kuhusu Ligi Kuu ya NBC
- Makundi ya Klabu Bingwa Africa 2025/2026 | Caf Champions League Groups 2025/2026
- Makundi ya Kombe la Shirikisho Afrika 2025/2026 | CAF Confederation Cup Groups 2025/2026
- Msimamo wa NBC Premier League Tanzania
- Msimamo Championship Tanzania
- Ligi 10 Bora Duniani | FIFA Ranking
- Top 10 ya Viungo (Midfielders) Bora Duniani
- Ijue Simba Historia ya Simba SC
- Soweto Derby History – Top Derby in Africa
Ni wakati sasa wa uongozi wa Simba kufanya maamuzi magumu ya kumuamini Legendary MATOLA kwa kumkabidhi Timu kama kocha mkuu na kumpatia sapoti na ushirikiano mkubwa kama ambao huwa wanatoa kwa makocha wa kigeni Ili aweze kutekeleza majukumu yake na kuivusha Simba hapa ilipo kwenda kwenye nchi ya ahadi.
Wana Simba wenzangu naombeni tuamini makocha wazawa tuanze na MATOLA tuache maisha ya kukariri.


No comments:
Post a Comment